Monday, July 16, 2012

CCM NDO WA KULAUMIWA VURUGU SINGIIDA

Ndugu watanzania sikio la kufa halisikii dawa. Kwa sasa ccm inaona inakufa imeamua hata kutoa wanachama wake kafara.Unaweza kujiuliza maswali ya msingi kuhusu vurugu za singida
1.Je ccm nao walikuwa na mkutano siku hiyo hapo kwa mheshimiwa mbunge? 
2. Je ccm walienda kufanya nini uwanjani kama walijua hawawei kuvumilia vdonge?
3. Je chadema waliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara? majibu ya maswali haha naamini yanathibitisha sikio la kufa halisikii dawa kwani chadema waliruhusiwa kufanya mkutano wa hadhara, Vile vile ccm walijipeleka wenyewe huko kwenye mkutano ambao ulikuwa hauwahusu nakufanyia watu vurugu
Enyi vyombo vya dola angalieni hilo swala vizuri msije mkasema ni chadema tu wenye makosa angalieni hata kwa ccm. Hao ndo hasa waliosababisha matatizo

3 comments:

  1. Filikunjombe naye anajua virungu vya police ni kwa ajili ya kuwapigigia chadema na wanafunzi wa vyuo vikuu

    ReplyDelete
  2. Regea maongezi ya bunge ya filikunjombe leo saa 6 akiwa anachangia wizara ya mambo ya ndani hasa kuhusu vifaa vya police wa tanzania

    ReplyDelete